Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amekwishaanza kulihutubia bunge la Katiba.... Bofya hapa...

Rais  Kikwete  amekwishaanza  kulihutubia  bunge  la  Katiba.... Bofya  hapo  chini   kumsikiliza  moja  kwa    moja  toka  Bungeni  Dodoma MPEKUZI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dondoo muhimu za Hotuba ya Rais Kikwete aliyoitoa leo Bungeni.....

Nawapongezeni kwa Kuwa sehemu ya Kuandika historia Mpya kwa Taifa la Tanzania,Mkitunga Katiba Bora Majina yenu yataandikwa kwa Wino wa Dhahabu.   Naombeni Mtunge Katiba Itakayo Dumisha Umoja wetu,Asili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotuba ya Rais Kikwete wakati wa kulihutubia bunge maalumu la katiba, tarehe...

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA, TAREHE 21 MACHI, 2014, DODOMA Pongezi  Nakushukuru sana Mheshimiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happiness (Miss Tanzania 2013) aeleza kwa nini hawezi kushiriki kwenye video...

  Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa hana mpango wa kuonekana kwenye video za wasanii wa bongo flava ama filamu kama baadhi ya washiriki wa shindano hilo.   Happines Watimanywa ameiambia  Times...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Loveness Diva atukanwa baada ya kumtaka kimapenzi Lulu Michael...."Nampenda...

Mwanadada Loveness aka Diva the Boss mtangazaji wa Clouds fm kipindi cha Ala Za Roho, kinachozungumzia maswala ya mapenzi na mahusian  juzi  usiku alijikuta akielezea hisia zake kwa Muigizaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani Kikwete aahidi kuongeza shule na mabweni Chalinze endapo wananchi...

Mgombea Ubunge wa CCM wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete amewaahidi wananchi wa Kata ya Ubena kuwatatulia tatizo la watoto wao kutembea umbali mrefu kwa kuongeza idadi ya shule na  mabweni mapya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yaahidi amani na maendeleo Chalinze endapo mgombea wake atachaguliwa...

   Mwenyekiti wa Baraza la Vijana  (Chadema) Mkoa wa Pwani, Elison Kinyaha amesema ili kudumisha maendeleo, upendo na amani ndani ya Jimbo la Chalinze, upo ulazima wa wakazi wa jimbo hilo kumchagua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba washindana kumshangilia mh. Rais kutokana...

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana waligawanyika katika kushangilia hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete.    Mwandishi wetu  alishuhudia baadhi ya wajumbe wa CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtalii kutoka nchini Ujerumani akwama katika kilele cha Mawenzi mlima...

Mtalii kutoka nchini Ujerumani anayefahamika kama Bi. Jeanne Traska (32) akiwa na muongoza wageni Athuman Juma leo majira ya saa mbili na nusu asubui wamekwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la Kenya lakubali ndoa ya wake wengi....Mwanaume anaruhusiwa kuoa...

Bunge nchini  Kenya limepitisha sheria inayomruhusu mwanaume kuoa wake wengi atakavyo, na halazimiki kumshauri mke wake juu ya uamuzi huo. Katika marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya Kenya yaliyopitishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

China yasema imeona kitu katika bahari ya Hindi kinachodhaniwa ni mabaki ya...

Picha iliyotolewa na vyombo vya habari vya China vikionyesha kitu kipya kilichogunduliwa na satellite za nchi hiyo kikielea katika Bahari ya Hindi ambacho kinahisiwa huenda kikawa na uhusiano na ndege...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumapili March 23 2014

<!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtalii aliyekwama kilele cha Mawenzi mlima kilimanjaro aokolewa

Mtalii Jeanne Traska kutoka Ujerumani   Bi.Jeanne Traska kutoka Ujerumani na Muongoza Wageni Athumani Juma wakiwa katika Lango la Marangu pamoja na vifaa mbalimbali walivyokwama navyo katika kilele cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu wanne wauawa kinyama ndani ya kanisa mjini Mombasa

Watu wane wameuawa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni magaidi  waliokuwa  wamejihami kwa bunduki kuwafyatulia risasi ndani ya kanisa linalojulikana kwa jina la Joy Jesus Church  lililo  karibu na mji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muonekano Mpya wa msanii Irene Uwoya.....

  Huu  ni  muonekano  mpya  wa  msanii  Irene  Uwoya  akiwa  ndani  ya  pozi  matata! <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabanda yanayoonyesha video chafu za ngono yafutiwa leseni

Serikali mkoani Pwani  imefuta vibali vya uendeshaji wa mabanda ya kuonyesha  video wilayani Kibaha pamoja na kuanzisha  uchunguzi wa wanafunzi wa shule  msingi wanaojihusisha na vitendo vya ulawiti....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani Kikwete aishuhudia shule iliyoezuliwa paa na kimbunga katika kijiji...

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete  akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji cha Kikwazu, Mussa Yahaya kuhusu shule ya msingi Kikwazu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Boti yazama na kuua wakimbizi 25 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...

MIILI 25 imepatikana Ziwa Albert baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuzama.    Wakimbizi hao walikuwa wakitoroka kutoka kambi ya wakimbizi ya Kyangwali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mastaa wanaswa laivu wakifanya vitendo vya laana

Baadhi ya mastaa wamenaswa laivu wakifanya vitendo vilivyotafsiriwa kuwa vya kifuska......   Baadhi ya mastaa wakionyeshana ufundi wa kucheza. Tukio hilo lilijiri kwenye Ukumbi wa Letasi Lounge uliopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashoga wazidi kuongezeka Bongo....Nini hasa sababu?....Au wateja wamezidi...

Nimepita pita huko mitaani hasa Kinondoni, kwenye mahotel ,ma bar na kumbi za starehe, nimeshangaa sana kuona wakaka poa kibao, tena wamejiremba kama wadada vile, nao wakijiuza kama machangudoa.......

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>