Serikali
mkoani Pwani imefuta vibali vya uendeshaji wa mabanda ya kuonyesha
video wilayani Kibaha pamoja na kuanzisha uchunguzi wa wanafunzi wa
shule msingi wanaojihusisha na vitendo vya ulawiti.
Hatua hiyo inachukuliwa baada ya wanafunzi wa kiume wa shule za
msingi wilayani humo kudaiwa kufanya vitendo hivyo vyenye athari kiafya
na kitaaluma.
Katika hatua nyingine,
↧