Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ridhiwani Kikwete aahidi kuongeza shule na mabweni Chalinze endapo wananchi watamchagua kuwa mbunge wao

$
0
0
Mgombea Ubunge wa CCM wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete amewaahidi wananchi wa Kata ya Ubena kuwatatulia tatizo la watoto wao kutembea umbali mrefu kwa kuongeza idadi ya shule na  mabweni mapya kwenye kata hiyo.    Alisema amekuwa akiumia kuwaona vijana  wa shule za sekondari wanaolazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilometa 15 kufuata masomo na kuomba ridhaa ya wananchi ili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>