Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge la Kenya lakubali ndoa ya wake wengi....Mwanaume anaruhusiwa kuoa wanawake hata 10, tena bila mashauriano yoyote na mke wake

$
0
0
Bunge nchini  Kenya limepitisha sheria inayomruhusu mwanaume kuoa wake wengi atakavyo, na halazimiki kumshauri mke wake juu ya uamuzi huo. Katika marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya Kenya yaliyopitishwa Alhamisi iliyopita,ndoa zote zitatakiwa kusajiliwa na umri wa chini  wa mwanamke kuweza kuolewa umewekwa ili kuzuia ndoa za mapema  za watoto, hasa wasichana. Siku hiyo ya Alhamisi Wabunge

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>