Picha
iliyotolewa na vyombo vya habari vya China vikionyesha kitu kipya
kilichogunduliwa na satellite za nchi hiyo kikielea katika Bahari ya
Hindi ambacho kinahisiwa huenda kikawa na uhusiano na ndege ya Malaysia
iliyopotea.
Picha
za Satellite kutoka kituo cha utafiti cha Marekani kikionyesha eneo
ambako msako mkali unaendelea kuitafuta ndege iliyopotea huko katika
bahari ya Hindi.
↧