Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

China yasema imeona kitu katika bahari ya Hindi kinachodhaniwa ni mabaki ya ndege ya Malaysia iliyopotea

$
0
0
Picha iliyotolewa na vyombo vya habari vya China vikionyesha kitu kipya kilichogunduliwa na satellite za nchi hiyo kikielea katika Bahari ya Hindi ambacho kinahisiwa huenda kikawa na uhusiano na ndege ya Malaysia iliyopotea. Picha za Satellite kutoka kituo cha utafiti cha Marekani kikionyesha eneo ambako msako mkali unaendelea kuitafuta ndege iliyopotea huko katika bahari ya Hindi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>