Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ndugu na jamaa wa abiria waliopotea na ndege ya Malaysia waishutumu Serikali....watishia kugoma kula

$
0
0
Ndugu na jamaa wa abiria wa China waliokuwa kwenye ndege ya Malaysia iliyopotea kimaajabu March 8 mwaka huu, wametishia kugoma kula ikiwa hawatapata taarifa kamili kuhusu ndege hiyo kutoka kwa maafisa wa Malaysia. Watu hao wameonesha hasira zao muda mfupi baada ya kufanya mkutano na maafsia wa shirika la ndege hiyo huko Beijing, China. Ikiwa ni siku ya 12 leo tangu nchi 26

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>