Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Athari za Mgomo wa Daladala Mkoani Morogoro....Wananchi wamelazimika kutumia magari ya kawaida kama pick up, Canter na mengine kuwahi waendako

$
0
0
  Hali si  nzuri mkoani  Morogoro leo hii ambapo madereva daladala wamegoma kutoa huduma kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga  kukamatwa  ovyo  na  na  kutozwa  faini kubwa na mamlaka za usalama barabarani mkoani humo             Wanafunzi wa shule mbalimbali za Manispaa ya Morogoro wakisubiri usafiri wa kwenda shule bila mafanikio katika kituo cha mabasi kilichopo Mkoani Morogoro

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles