Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Habari kuhusu watu wanne waliouawa na wananchi wenye hasira kali mkoani Mwanza wakituhumiwa kuiba Ng'ombe

$
0
0
WATU wanne wameuawa mkoani Mwanza kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe Katika eneo la Igwambiti kata ya Buhongwa Wilaya ya Nyamagana. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Valentino Mlowola amesema tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana  majira ya  saa 11 alfajiri ambapo wananchi walipata taarifa ya kuwepo kwa  wizi wa ng’ombe katika kitongoji cha Mtende.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>