Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu dada anahitaji msaada wako wa USHAURI kutokana na unyama aliotendewa na...

Mwaka jana mwezi wa tisa nikiwa na rafiki zangu mara baada ya kumaliza mitihani tuliamua kwenda kujirusha. Tulikubaliana twende tukakae pahali patulivu tukiwa sisi kama sisi yaaani mimi, evelyne, Trice...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watoto Wamchinja Kikatili Mpenzi wa Mama yao na kuutupa Mwili wake Porini

NDUGU wawili wa kiume wa familia moja wilayani Mlele mkoa wa Katavi, wanatuhumiwa kumuua mpenzi wa mama yao kwa kumchinja, kisha kutelekeza mwili wake porini.   Wakazi hao ambao mmoja ni mtoto mwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yaanza mchakato wa kumtafuta Mpinzani wa Ridhiwani Kikwete katika...

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza mchakato wa kutafuta mgombea wa kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Chalinze, ambapo jana fomu za kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vurugu zaibuka BUNGENI na kupelekea Mwenyekiti wa Muda kuahirisha kikao cha...

Semina ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba leo imelazimika kuahairishwa baada ya kuibuka vurugu ndani ya ukumbi wa Bunge.    Zogo hilo liliumuka baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya wajumbe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madaktari na wauguzi wasitisha kutoa huduma kwa wagonjwa baada ya Hospitali...

   Huu ni mtaro wa kupitisha maji taka ambao umepita katikati ya Hospitali ya Palestina ambapo ulifumuka na kusababisha kusambaa kwa maji machafu katika kila kona ya hospitali hiyo.  Mmoja wa wagonjwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi ni nafasi mpya za kazi toka Access Bank....Work Experience haihitajiki,...

AccessBank Tanzania is a full commercial bank providing micro, small and medium-sized enterprises (MSMEs) with a broad range of appropriate financial services. Established in 2007, the bank is owned by...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu ya vipimo vya DNA yahatarisha ndoa jijini Mbeya.....Asilimia 40 ya...

ASILIMIA 40 ya Wanaume waliopima vinasaba ili kubaini uhusiano wa kibaiolojia na watoto wanaowalea, wamebainika kuwa watoto hao si wao licha ya kuzaliwa na wake zao au wapenzi wao. Taarifa hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la polisi Mkoani Dodoma lawakamata MAKAHABA 15 waliokuwa wakijiuza...

  Na Sylvester Onesmo  wa Jeshi la Polisi Dodoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limeendelea kufanya msako katika maeneo mbalimbali na kufanikiwa kuwakamata wanawake wapatao 15 wanaojihusisha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu barabara ya Dar- Moro

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.    Ajali hiyo ilitokea jana saa 4.30 asubuhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mvua yazua balaa jijini Dar.....

Dereva wa Bodaboda, akiwa na abiria wake, wakinyanyua miguu kukwepa kulowa na maji ya mvua yaliyofurika kwenye barabara ya Mbozi, Chang'ombe jijini Dar es Salaam jana. Mvua ya siku mbili tu tayari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Atupwa Jela mwaka mmoja kwa kosa la kutumia jina la Nape Nnauye kutapeli

MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita imemhukumu Selemani Nkwenda (36) kwenda jela mwaka mmoja baada ya kumtia hatiani kwa kutapeli watu kwa kutumia jina la Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyumba yateketea kwa Moto wilayani Misungwi mkoani Mwanza. ....Chanzo ni Jiko...

Moto huo unaotajwa chanzo chake kusababishwa na jiko la gesi ulilipuka na kuiteketeza kabisa nyumba hiyo ikiwa na furniture zake. Huku baadhi yao wakiwa wamejitosa kufanya uokoji wa mali, wananchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wakatishwa tamaa na Bunge La Katiba

Wananchi kadhaa wameeleza kusikitishwa na mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba, huku wakimtaka Rais Jakaya Kikwete aikemee hali hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole na Nuhu Mziwanda waanika uhusiano wao, wasema wana mpango wa kufunga...

Wasanii wa muziki Shilole na Nuhu Mziwanda wameamua kuweka wazi uhusiano wao wa kimapenzi na kudai kuwa wapo tayari kufunga ndoa.  Wakizungumza na U heard ya XXL, Clouds FM juzi,Shilole na Nuhu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nicki Minaj atupia picha mtandaoni akiwa mtupu bafuni akioga

  Nicki Minaj anataka umuone akiwa anaoga bafuni. Jumatano  ya  wiki  hii, rapper huyo alipost picha kadhaa kwenye Instagram akiwa mtupu bafuni akioga. Nicki hakuandika chochote kwenye picha hizo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya kumuenzi marehemu Steven Kanumba kuzinduliwa April 7 mwaka huu...

Uzinduzi wa taasisi ya marehemu Steven Kanumba ijulikanayo  kwa jina la Kanumba The Great Foundation utafanyika Aprili 7 kwenye ukumbi maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini.  Uzinduzi huo utaenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampeni za CCM jimbo la Kalenga zazidi kupamba moto....

Mgombea kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, Godfrey Mgimwa (wapili kushoto), Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu na Naibu Katibu Mkuu wa CCM,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ITV, Star TV na Radio Free Africa vyapewa onyo kali na TCRA leo...

  Leo March 07 Kamati ya maudhui ilikua na kikao cha kusoma uamuzi dhidi ya vituo vilivyokiuka kanuni za utangazaji. Akisoma uamuzi huo mbele ya waandishi wa Habari, Mwenyekiti wa Kamati maudhui ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiongozi wa UVCCM afunga tawi la CHADEMA Lushoto na kupandisha bendera ya CCM

Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga Ndugu Husna Mbwambo Sekiboko amefunga tawi la Chadema katika Kijiji Cha Lukozi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahamiaji haramu 46 toka Ethiopia wakamatwa na jeshi la Polisi mkoani Iringa...

Wahamiaji Haramu hao walikamatwa juzi katika kitongoji cha Gezaurole katika kata ya Ruaha Mbuyuni tarafa ya Mahenge wakati jeshi la polisi likiwa katika doria ya kawaida na kulitilia mashaka gari hilo...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>