Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Shilole na Nuhu Mziwanda waanika uhusiano wao, wasema wana mpango wa kufunga ndoa

$
0
0
Wasanii wa muziki Shilole na Nuhu Mziwanda wameamua kuweka wazi uhusiano wao wa kimapenzi na kudai kuwa wapo tayari kufunga ndoa.  Wakizungumza na U heard ya XXL, Clouds FM juzi,Shilole na Nuhu wamesema wanapendana sana na wamekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa zaidi ya miezi mitatu sasa.  “Tunajipanga mambo fulani yakae sawa pamoja na mke.Ki kweli tuna kama miezi miwili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>