Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wananchi wakatishwa tamaa na Bunge La Katiba

$
0
0
Wananchi kadhaa wameeleza kusikitishwa na mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba, huku wakimtaka Rais Jakaya Kikwete aikemee hali hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Hellen-Kijo Bisimba, amesema, ni aibu kwa kinachoendelea katika bunge hilo. “Leo (jana) niliacha kazi zangu na kujipa muda wa kuangalia shughuli ya hilo bunge na kwa kweli

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>