Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watoto Wamchinja Kikatili Mpenzi wa Mama yao na kuutupa Mwili wake Porini

$
0
0
NDUGU wawili wa kiume wa familia moja wilayani Mlele mkoa wa Katavi, wanatuhumiwa kumuua mpenzi wa mama yao kwa kumchinja, kisha kutelekeza mwili wake porini.   Wakazi hao ambao mmoja ni mtoto mwenye umri wa miaka 16 ni wakazi wa Kitongoji cha Milumba Kata ya Kibaoni na aliyeuawa ni Kitungulu Luhende (65).   Inadaiwa mama yao, Sai Mponje (65) ambaye ni mjane anayeshikiliwa na polisi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>