Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu barabara ya Dar- Moro

$
0
0
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.    Ajali hiyo ilitokea jana saa 4.30 asubuhi baada ya basi hilo aina ya Toyota Coaster lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Ifakara kugongana na lori la mafuta lililokuwa likitoka Morogoro kuelekea Chalinze.   Kamanda wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>