Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi
la Polisi Mkoa wa Dodoma limeendelea kufanya msako katika maeneo
mbalimbali na kufanikiwa kuwakamata wanawake wapatao 15 wanaojihusisha
na biashara haramu ya kuuza miili yao kutoka mikoa mbalimbali nchini.
Msako huo ulifanyika tarehe 05/02/2014 majira ya 21:00hrs katika mitaa
ya uhindini na Air Port.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa
↧