Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majibu ya vipimo vya DNA yahatarisha ndoa jijini Mbeya.....Asilimia 40 ya wanaume waliopima wamebaini kuwa watoto waliozaa na wake zao si wao

$
0
0
ASILIMIA 40 ya Wanaume waliopima vinasaba ili kubaini uhusiano wa kibaiolojia na watoto wanaowalea, wamebainika kuwa watoto hao si wao licha ya kuzaliwa na wake zao au wapenzi wao. Taarifa hiyo imetolewa na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali kutokana na wanaume waliotaka kufahamu ukweli kuhusu watoto wao hadi Januari mwaka huu kwa mujibu wa Sheria ya Vinasaba vya Binadamu namba 8 ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>