Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la Saibaba laua mmoja na kujeruhi vibaya watu 22

Mtu mmoja amekufa papo hapo na wengine 22 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya saibaba walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es salaam kwenda Kyela mkoani Mbeya kupinduka katika kijiji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili wa vyama aingilia kati sakata la kutekwa kwa Padri huko Kalenga...

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imeingilia kati sakata la kutekwa na kujeruhiwa kwa Paroko wa Kanisa la Orthodox, Parokia ya Mtakatifu Basili Mkuu,  Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, Padri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dayna awataka wasanii Chipukizi wasogope kutongozwa.....

Staa wa wimbo wa Mafungu ya Nyanya, Mwanaisha Said ‘Dyana’ amewataka wasanii wa kike chipukizi kuacha kuogopa kutongozwa kwani uamuzi unabaki kuwa kwao. “Namshukuru Mungu mpaka hapa nilipofikia....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba Yapigwa faini kwa kuendekeza vitendo vinavyoashiria ushirikina ( Uchawi )

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeipiga faini ya jumla ya sh. milioni moja klabu ya Simba kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo vitendo vinavyoashiria ushirikina uwanjani.   Simba ilifanya vitendo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

African Magic Viewers' Choice Awards kutolewa leo (March 8) jijini Lagos...

Moja kati ya tuzo kubwa zenye heshima Afrika zinazojulikana kama African Magic Viewers’ Choice Awards zinazoandaliwa na Multichoice Africa na Amstel Malta zitafanyika leo (March 8) jijini Lagos Nigeria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mainda alikumbuka penzi la Marehemu MAX....

STAA wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amejikuta akikumbuka pete aliyovishwa na aliyekuwa mchumba wake, marehemu Saidi Banda ‘Max’ na kusema ataendelea kumuombea kwani alikuwa ni mwanaume...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rehema Fabian ANASWA LIVE akipapaswa na kibabu cha kizungu

  Mshiriki wa Shindano la Miss Kiswahili mwaka 2009 ambaye kwa sasa yuko nchini China akijitafutia maisha, Rehema Fabian amenaswa laivu akiwa kimahaba na kibabu cha kizungu katika moja ya ufukwe wakila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Muonekano mpya wa Msanii Jackline Wolper

  Star wa filamu mwenye  mvuto  kwa  sasa , Jackline  Wolper  akiwa  katika  mapozi  ya  ukweli  kama  anavyoonekana  katika  picha  hapo  juu.... <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Victoria Kimani awadatisha mashabiki baada ya kuzianika tattoo zake za...

  Victoria Kimani ameamua kujipamba na urembo wa Pwani kwa kujichora na tattoo za Henna.  Na muimbaji huyo mrembo wa Kenya aliyetua Dar es Salaam wiki hii kung’arisha uzinduzi wa kipindi cha The...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shamsa Ford atoa ONYO kali kwa Wanawake wanaomvizia mume wake

Mwanadada anayefanya poa Bongo Movies, Shamsa Ford amewataka wanawake wanaomfuatilia mumewe, Dickson waache mara moja. Shamsa alisema, anakerwa sana na tabia ya wanawake wanaomfuata mumewe kwani hata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2014 na TGNP

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP-Mtandao), Bi. Lilian Liundi akitoa hotuba ya kuwakaribisha wageni mbalimbali na kuzungumza na washiriki wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA kutumia Helikopta huko Kalenga mkoani Iringa......Mbowe atamba...

Kampeni  za  uchaguzi  mdogo  wa  ubunge  katika  jimbo  la  Kalenga, Iringa  vijijini  zimeanza  kuchukua  sura  mpya  baada  ya  chama  cha  demokrasia  na  maendeleo  (  CHADEMA )   kuanza  kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la kijasusi la Marekani ( CIA ) , Tanzania ni...

Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la kijasusi la Marekani, CIA iitwayo The World Fact Book, Tanzania ni nchi ya 12 kiuchumi barani Afrika na 83 duniani.<!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siri ya Mtungi yaambulia patupu kwenye tuzo za mwaka 2014 za AfricaMagic...

Tuzo za mwaka 2014 za AfricaMagic Viewers’ Choice Awards (AMVCAs) zimefanyika  jana  Jumamosi  huko Eko Hotel and Suites Victoria Island, Lagos, Nigeria. Tuzo hizo ziliburudishwa na wasanii mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshindani wa JK kupambana na Ridhiwani Kikwete Chalinze

Aliyekuwa mshindani wa Rais Jakaya Kikwete katika uchaguzi wa Jimbo la Chalinze mwaka 2000 kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (Cuf), Fabian Leonard atapambana na mtoto wa rais huyo, Ridhiwani Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF yapinga Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani Zanzibar.

Chama Cha Wananchi(CUF) kimepinga wazo na rai ya kupunguza masharti ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ili kulegeza nguvu zake kisheria na kuwapa fursa Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania watatu na wanyarwanda watatu wakamatwa katika jaribio la mauaji ya...

Watanzania watatu ni miongoni mwa washtakiwa sita  wanaodaiwa kumvamia Mkuu wa Majeshi wa Rwanda  aliye mafichoni , Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa.   Washtakiwa hao  pamoja na Wanyarwanda watatu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rushwa ya ngono yamtafuna afisa elimu

AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kalenga kwachafuka.....Dereva wa Mwigulu Nchemba ashambuliwa, magari yavunjwa...

DEREVA wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba, Mohamed Kunambi, ameshambuliwa na kujeruhiwa na watu wanaodhaniwakuwa wafuasi wa chama cha CHADEMA.Tukio hilo liletokea usiku wa kumkia jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyempa mwanafunzi Mimba na tabibu aliyeitoa wahukumiwa kwenda jela miaka...

   Mfanyabiashara wa Mbuzi na kusaga nafaka katika kijiji cha Kintandaa Adamu Shaban Hole (46) (mbele mwenye kofia baraghashia) na aliyekuwa tabibu msaidizi katika dispensari ya Tumaini mjini Singida,...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>