Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Basi la Saibaba laua mmoja na kujeruhi vibaya watu 22

$
0
0
Mtu mmoja amekufa papo hapo na wengine 22 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya saibaba walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es salaam kwenda Kyela mkoani Mbeya kupinduka katika kijiji cha Mwambegele wilayani Rungwe.    Safari ya basi la kampuni ya Saibaba lenye namba za usajili T 973 AVW kutoka jijini Dar es Salaam kwenda wilayani Kyela imeishia kwenye kona kali ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>