Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Msajili wa vyama aingilia kati sakata la kutekwa kwa Padri huko Kalenga mkoani Iringa

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imeingilia kati sakata la kutekwa na kujeruhiwa kwa Paroko wa Kanisa la Orthodox, Parokia ya Mtakatifu Basili Mkuu,  Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, Padri Costantino Mbilinyi (36), ikisema kulifumbia macho ni kuruhusu matukio ya uvunjifu wa amani na ukiukwaji wa sheria za uchaguzi. Msajili Msaidizi, Sisty Nyahoza, akizungumza na waandishi waImage may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>