Wahamiaji
Haramu hao walikamatwa juzi katika kitongoji cha Gezaurole katika kata
ya Ruaha Mbuyuni tarafa ya Mahenge wakati jeshi la polisi likiwa katika
doria ya kawaida na kulitilia mashaka gari hilo lililokuwa limebeba
matenga ya Nyanya.
Kiongozi
wa Wahamiaji Haramu,akiwagawia wenzake mikate ilionunuliwa na
wanahabari waliokuwepo kwenye tukio hilo kwa kushirikiana na Jeshi la
↧