Mjumbe
wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha
Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga Ndugu Husna Mbwambo Sekiboko
amefunga tawi la Chadema katika Kijiji Cha Lukozi na kupandisha Bendera
ya Chama Cha Mapinduzi kutangaza Ufalme mpya wa Chama hicho cha siasa.
Tukio
hilo limetokea jana tarehe 6th March 2014 katika kijiji cha Lukozi,
wilaya ya Lushoto Mkoa
↧