Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

ITV, Star TV na Radio Free Africa vyapewa onyo kali na TCRA leo...

$
0
0
  Leo March 07 Kamati ya maudhui ilikua na kikao cha kusoma uamuzi dhidi ya vituo vilivyokiuka kanuni za utangazaji. Akisoma uamuzi huo mbele ya waandishi wa Habari, Mwenyekiti wa Kamati maudhui ya Tcra mama Magreth Mnyagi amevigusia vituo vitatu vilivyokiuka kanuni hizo. Vituo vilivyopewa onyo hilo ni vituo vinavyomilikiwa na Ipp pamoja na Sahara Media ambayo kwa Ipp onyo limepewa kituo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>