Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA kutumia Helikopta huko Kalenga mkoani Iringa......Mbowe atamba kufanya kampeni za mtaa kwa mtaa, CCM yamponda, yadai moshi wa Helikopta una madhara kwa binadamu

$
0
0
Kampeni  za  uchaguzi  mdogo  wa  ubunge  katika  jimbo  la  Kalenga, Iringa  vijijini  zimeanza  kuchukua  sura  mpya  baada  ya  chama  cha  demokrasia  na  maendeleo  (  CHADEMA )   kuanza  kutumia  helikopta  ambapo  kwa  siku  watafanya  mikutano  sita..... Mwenyekiti  wa  chama  hicho  taifa, Bw. Freeman  Mbowe, alisema  chama  hicho  kitapasua  anga  ya  jimbo  hilo  kupitia  kauli

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>