Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania watatu na wanyarwanda watatu wakamatwa katika jaribio la mauaji ya Mkuu wa Majeshi wa Rwanda ( Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa ) aliye mafichoni Afrika Kusini

$
0
0
Watanzania watatu ni miongoni mwa washtakiwa sita  wanaodaiwa kumvamia Mkuu wa Majeshi wa Rwanda  aliye mafichoni , Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa.   Washtakiwa hao  pamoja na Wanyarwanda watatu wamefikishwa katika mahakama za Afrika Kusini kujibu mashtaka hayo.   Jenerali Nyamwasa  alishambuliwa wiki hii, ikiwa ni muda mfupi baada ya mauaji ya Mkuu wa Usalama wa Taifa wa Rwanda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>