Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kalenga kwachafuka.....Dereva wa Mwigulu Nchemba ashambuliwa, magari yavunjwa vioo....Diwani wa CCM ajeruhiwa usoni, CHADEMA yadaiwa kuhusika

$
0
0
DEREVA wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba, Mohamed Kunambi, ameshambuliwa na kujeruhiwa na watu wanaodhaniwakuwa wafuasi wa chama cha CHADEMA.Tukio hilo liletokea usiku wa kumkia jana eneo la Ifunda jimbo la Kalenga wilaya ya Iringa Vijijini mkoa wa Iringa.Mbali na dereva huyo diwani wa kata ya Ifunda, Eliya Mngwila, naye amejeruhiwa na watu hao waliposhambulia gari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>