Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Victoria Kimani awadatisha mashabiki baada ya kuzianika tattoo zake za MAPAJANI na mgongoni....

$
0
0
  Victoria Kimani ameamua kujipamba na urembo wa Pwani kwa kujichora na tattoo za Henna.  Na muimbaji huyo mrembo wa Kenya aliyetua Dar es Salaam wiki hii kung’arisha uzinduzi wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, ameamua kuyaonjesha macho ya followers wake wa Instagram jinsi urembo huo ulivyomtoa chicha, mashalaah.. Safisha macho kwa uumbaji huu wa Mola.. Victoria na Henna za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>