Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Atupwa Jela mwaka mmoja kwa kosa la kutumia jina la Nape Nnauye kutapeli

$
0
0
MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita imemhukumu Selemani Nkwenda (36) kwenda jela mwaka mmoja baada ya kumtia hatiani kwa kutapeli watu kwa kutumia jina la Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye.   Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu wa mahakama hiyo, Zablon Kesase, alisema ameridhika pasipo shaka kwamba mtuhumiwa alitenda kosa hilo.   Alisema mtuhumiwa huyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>