Semina ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba leo imelazimika kuahairishwa baada ya kuibuka vurugu ndani ya ukumbi wa Bunge.
Zogo
hilo liliumuka baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya wajumbe
uliosababishwa na kutuhumiana kwamba zipo dalili za upendeleo
wanazofanyiwa baadhi ya wajumbe kutokana na sababu za kiitikadi za
vyama.
Hali
hiyo ya hewa ilichafuka baada ya
↧