Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Madaktari na wauguzi wasitisha kutoa huduma kwa wagonjwa baada ya Hospitali kukumbwa na mafuriko jijini Dar

$
0
0
   Huu ni mtaro wa kupitisha maji taka ambao umepita katikati ya Hospitali ya Palestina ambapo ulifumuka na kusababisha kusambaa kwa maji machafu katika kila kona ya hospitali hiyo.  Mmoja wa wagonjwa akiwa anangojea kupata huduma baada ya mvua hiyo kubwa kuisha.  Haya ni maji machafu ambayo yametapakaa kila sehemu ya hospitali.  Kushoto ni mgonjwa akiwa amelala juu ya benchi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles