Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ni spesho kwa wapenda mauno tu....Ni video ya Snura AKIVURUGWA hadi huruma

  August 2013  Snura aliacha  single yake ya ‘nimevurugwa’ kwenye radio za bongo na  sasa  ameishusha  video  hiyo  ya  kuvurugwa  kwake… itazame hapa chini

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Album ya picha 10 za Binti wa kichaga akinadi Ch*pi zake za mitumba huku...

Huwezi amini, Huyu  ni  mtanzania  mwenzetu, Tofauti yake  na dada  zetu  wa bongo ni  kwamba  yeye  anaishi  nje ya nje... Hii  ndo  tofauti  pekee  ninayoiona  mimi. Sijataka  kuzunguzia  mambo  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Kitila Mkumbo azikataa salamu za pole toka kwa Mwigulu Nchema kwa madai...

  Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Kitila Mkumbo, amemshambulia kwa maneno na kumrushia vijembe Mbunge wa Iramba Magharibi (CCM), Mwigulu Nchemba, kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yawakaanga tena Zitto Kabwe na Dr Kitila......Haya ndo mambo...

Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu akionyesha waraka aliodai kuwa ni orijino badala ya ule uliosambazwa kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari aliodai kuwa ni feki, kushoto ni Mbunge wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto avunjwa kidole na mwalimu wake baada ya kuingia darasani na nywele...

Wiki ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia na watoto ikiwa imeanza kuadhimishwa duniani Novemba 25 mwaka huu bado vitendo hivyo vimezidi kushamiri Mkoani Mbeya ambapo mwanafunzi wa darasa la nne...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yatoa onyo kwa wanaume wanaowapiga picha za uchi wapenzi wao, Bofya...

  Serikali yatoa onyo kwa wanaume wanaowapiga picha za uchi wapenzi wao, Bofya hapa umsikie Serikali imesema haitavumilia mtu au kundi la watu wa aina yoyote ambao watabainika kuendeleza vitendo vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Msikilize Tundu Lissu akimsomea makosa 11 Zitto Kabwe ya kupanga...

  Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kimewaandikia barua za kuwavua rasmi nyadhifa za uongozi aliyekuwa naibu katibu mkuu Mh. Zitto Kabwe na wenzie sambamba na kupewa siku kumi na nne za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa mtu apiga picha chafu za Utupu jijini Mwanza baada ya kuzidisha pombe.

Mwanamke  mmoja  ambaye  ni mke  wa  mtu  na mkazi  wa  jiji  la  Mwanza  amejikuta  ndani  ya  aibu  nzito  baada ya  kulewa  pombe  na  kisha  kujipiga  za  utupu...Habari  zinaarifu  kuwa  mwanamke...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwigulu Nchemba amchambua Dr. Kitila Mkumbo....Anadai kuwa ni mwanasiasa...

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba, amemchambua mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kusema kuwa ni mchanga kwenye siasa hivyo hamuogopi. Hatua hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Nishati atakiwa kuwaomba RADHI watanzania baada ya kuwaambia...

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemtaka Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, kuwaomba radhi Watanzania kutokana na kutoa kauli ya kukatisha tamaa.   Simbachawene,  juzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA bado hali ni tete...Zitto Kabwe amburuza polisi katibu wa chama hicho...

WAKATI Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikimwandikia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe barua ya kumtaka ajieleze dhidi ya tuhuma zinazomkabili, yeye ameamua kukimbilia polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yatangaza nafasi za kazi 2,748

Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia watanzania  wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 2,748 kwa ajili ya waajiri mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi yapiga marufuku kuuza visu, sime, mapanga barabarani ili kupunguza...

Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imepiga marufuku biashara ya kutembeza visu, sime na mapanga barabarani na kusema yeyote atakayekiuka agizo hilo atakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAWADI: Jipatie zawadi ya sh. laki tatu ( 300,000) kwa kushiriki shindano la...

Mpendwa  msomaji; Tunapenda  kukuarifu  kuwa  kuna  zawadi  ya sh. 300,000  itakayogawanywa  kwa  washindi  watatu Shindano  hilo  limeanza  leo katika  forum yetu ya Fikra Huru  na  litamaliza  baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aibu: Mtoto wa King Kikii apiga picha za Uchi, mumewe azimia baada ya...

Jesca  Kikumbi  ambaye ni  binti  wa  mwanamziki  nguli  nchini,King Kikii  amejikuta  kwenye  fedheha  kubwa  kufuatia  picha  zake  za  uchi  kufumwa  na  mumewe  aliyetambuliwa  kwa  jina  moja  la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uanachama wa Zitto Kabwe ni Moto CHADEMA.....Steven Wasira adai kuwa dhambi...

UANACHAMA wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe umetajwa kuwa ‘kaa la moto’ kwa uongozi wa chama hicho hata kabla ya kiongozi huyo kujibu mashitaka 11 yanayomkabili ili kunusuru...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitale: nimejifunza mengi kwenye kifo cha Sharo Milionea, nimeacha ujumbe kwa...

Muigizaji na mwimbaji nchini Kitale yuko Tanga alipoenda kuhudhuria Dua ya kumuombea marehemu Sharo Milionea ikiwa ni mwaka mmoja tangu afariki dunia kwa ajali mbaya ya gari.   Kitale ambaye ndiye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madame Rita ajibu maswali tisa muhimu kuhusu EBSS 2013 (Audio)....

Shindano la EBSS 2013 linaelekea ukingoni ambapo November 30, atatangazwa mshindi wa shindano hilo pale Escape 1, Dar es Salaam.   Washiriki watano waliobaki katika shindano hilo ni Emmanuel Msuya,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Ray na Johari wanalaana yangu na hakuna jinsi wataikwepa"...Norah

  BAADA ya hivi karibuni staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ kueleza mazito kuhusu Ray, Johari na Chuchu Hans, msanii mwenzake, Nuru Nassoro ‘Nora’ naye amefunguka kuwa laana ya walichomfanyia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu watwangana ngumi ofisini kwa kutuhumiana kula pesa za kisima cha shule

Afisa Elimu msingi wilaya ya  Sengerema Bw,Juma Mwajombe alipokuwa akimvua madaraka Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Luhama kwa kosa la kutotimiza majukumu yake.  **************** AFISA Elimu wa Shule za...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>