Serikali kupitia Ofisi ya Rais
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia watanzania
wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 2,748 kwa ajili
ya waajiri mbalimbali Nchini.
Kwa
mujibu wa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.
Xavier Daudi nafasi hizo za kazi ambazo zinapatikana katika tovuti ya
Sekretarieti ya Ajira ambayo ni
↧