Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imepiga marufuku biashara
ya kutembeza visu, sime na mapanga barabarani na kusema yeyote
atakayekiuka agizo hilo atakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi
Kanda hiyo, Kamishna Suleiman Kova alisema jeshi hilo lipo katika
mchakato wa kupendekeza sheria mpya ya matumizi ya silaha na umiliki ili
↧