Muigizaji na mwimbaji nchini Kitale yuko Tanga alipoenda
kuhudhuria Dua ya kumuombea marehemu Sharo Milionea ikiwa ni mwaka mmoja
tangu afariki dunia kwa ajali mbaya ya gari.
Kitale ambaye ndiye msanii pekee aliyefika Tanga siku ya juzi amesema
kuwa amejifunza mambo mengi katika msiba wa rafiki yake Sharo Milionea,
ikiwa ni pamoja na misiba ya wasanii wengine waliotangulia mbele ya
↧