Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Naibu Waziri wa Nishati atakiwa kuwaomba RADHI watanzania baada ya kuwaambia kuwa atakayeshindwa kumudu gharama mpya za umeme akae gizazi au atumie kibatari

$
0
0
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemtaka Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, kuwaomba radhi Watanzania kutokana na kutoa kauli ya kukatisha tamaa.   Simbachawene,  juzi alitoa kauli ya serikali ya kupandisha bei ya umeme kama Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), lilivyoomba hivi karibuni kutaka kuongeza gharama za nishati hiyo kwa asilimia 68

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>