Wiki
ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia na watoto ikiwa imeanza
kuadhimishwa duniani Novemba 25 mwaka huu bado vitendo hivyo vimezidi
kushamiri Mkoani Mbeya ambapo mwanafunzi wa darasa la nne shule ya
msingi Aiport Kata ya Iyela jijini Jacline Staniely [9] ameumizwa mkono
wake wa kushoto.
Jacline
akiongea kwa ridhaa ya mama yake amesema alipigwa kwa kutumia ubao na
mwalimu
↧