Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto anayedaiwa kufufuka anena kwa mara ya kwanza

  Ni hivi karibuni, Mji wa Geita na maeneo jirani ulikubwa na taharuki ya aina yake,pale mtoto Shabani Maulid (15) anaedaiwa kwamba alifariki dunia miaka miaka mitatu iliyopita, alipoonekana akiwa hai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afande Sele ajiunga rasimi CHADEMA

Mwanamziki  mkongwe wa Hip hop na Bongo Fleva, ambaye pia ni mfalme wa Rymes, Selemani Msindi (Afande Sele), jana amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kukabidhiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kenya yalaani umoja wa Mataifa ( UN ) uliotupilia mbali ombi la Umoja wa...

Serikali ya Kenya imelaani uamuzi uliotolewa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) wa kutupilia mbali ombi la Umoja wa Afrika (AU) kutaka kesi zinazowakabili viongozi wakuu wa nchi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa Juma Kapuya azidi kubanwa.... Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP...

SAKATA la Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof. Juma Kapuya (CCM) kudaiwa kumbaka mwanafunzi na kumtishia kumuua, linazidi kuchukua sura mpya ambapo Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti avua nguo na kuyaanika matiti nje baada ya kuzidisha pombe

   Mrembo wa haja ambaye jina halikupatikana mara moja, amenaswa akiwa matiti  nje baada ya kulewa mchana kweupe na kulizwa mkoba wake kisha kuzua varangati zito, Varangati hilo lililonaswa na kachero...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yafanikiwa kuivunja kambi ya mafunzo ya Al Shabaab mkoani...

Polisi wa Tanzania walivunja zoezi la mafunzo ya al-Shabaab katika mkoa wa Tanga, kuwakamata washukiwa 69 na kuwaachia huru dazani za wafundishwaji wakiwa na umri wa miaka kati ya 4 hadi 13 katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Uoya ajichora tatoo katika kiuno na makalio yake.

  Muigizaji wa kike maarufu  wa  jina  la  Irene  Uwoya  ametoa  kali  ya  mwaka  baada  ya  kujichora  tatoo  makalioni  na  kiunoni  na  kisha  kujipiga  picha  na  kuitupia  mtandaoni..... Kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi ndo sababu zilizomfanya Aden Rage atimuliwe uenyekiti wa klabu ya Simba

Kamati ya  utendaji ya klabu ya Simba iliyokutana jana usiku imempiga stop Ismail Aden Rage kuendelea na ubosi katika klabu ya Simba na kulibadilisha benchi la ufundi isipokuwa nafasi ya meneja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Undani wa mauaji yaliyofanyika jana jijini Dar....Chanzo chake hakina tofauti...

Mfanyabiashara wa magari, Gabriel Munisi (35), jana alijiua baada ya kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine watatu jijini Dar es Salaam katika tukio linalohusishwa na wivu wa mapenzi.    Munisi, ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji wa kanisa la Pentekoste awabaka wanafunzi wawili na kuwaambukiza...

Wanafunzi  waliobakwa  kwa  zamu Baadhi ya walimu wa shule ya Msingi Maendeleo wakizungumza kwa hisia tukio hilo la ubakaji lililofanywa na Mchungaji Kanisa linaloendeshwa na Mchungaji Bryson Mwaikambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati kuu ya CHADEMA inatarajiwa kukutana leo ili kujadili misukosuko...

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo inaanza kikao chake cha siku mbili ikitarajiwa kujadili masuala mazito, hasa misukosuko iliyokikumba katika siku za karibuni.    Taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tishio jingine kubwa la Ugaidi nchini Kenya....Marekani yatoa angalizo kwa...

SIKU chache baada ya kikundi cha Al Shabaab kudaiwa kuteka Jengo la Westgate nchini Kenya na kuua watu kadhaa na wengine kujeruhiwa wasiwasi wa magaidi kulipua tena nchi hiyo umetanda.   Tayari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kajala Masanja kuhukumiwa upya Novemba 25

Msanii wa filamu Kajala Masanja atahukumiwa upya Novemba 25 mwaka huu baada ya mumewe kukata rufaa.    Kesi iliyokuwa ikiwakabili wanandoa hao ilihusiana na utakatishaji wa fedha haramu uliofanywa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanye West na Kim Kardashian wajiachia Uchi katika video yao mpya ya Bound 2

Kanye West ametoa  video yake  ya   Bound 2 kwa mara ya kwanza alivyoenda kwenye show ya Ellen ambapo video model wa video hiyo ni Kim Kardashian na kama unakumbuka zilitoka story kwamba Kim amefanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aibu: Mabinti wa chuo wajirekodi wakiwa bila nguo ndani ya hosteli yao, video...

  Mabinti  wawili  ambao  ni  wanafunzi  wa  chuo  kikuu  (???)  wamenaswa  live  wakicheza  nusu  uchi  ndani  ya  chumba  chao  cha  hosteli  huku  wakiwa  wametegesha  visimu  vyao  kwa  ajili  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaka wa P-Square, Jude Okoye adaiwa kuisusia harusi ya Peter na Lola, ndugu...

Jumapili ya November 17, 2013, jiji la Lagos, Nigeria lilishuhudia harusi kubwa ya kitamaduni kati ya muimbaji wa kundi la P-Square, Peter Okoye na mchumba wake Lola Omotayo, lakini cha ajabu, kaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kashfa ya kufanya mapenzi na watoto wadogo yaendelea kuwatafuna wabunge...

WABUNGE wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rosesweeter Kasikila na Profesa Juma Kapuya, wameingia katika kashfa mbaya ya kimapenzi inayoweka hatma yao kisiasa shakani.    Kashfa za wabunge hao wa CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatima ya Babu Seya na Papii Kocha ni LEO ambapo Mahakama itatoa uamuzi wa...

MAHAKAMA ya Rufani leo inatarajia kutoa uamuzi wa ama kulikubali au kulikataa ombi la marejeo lililowasilishwa na mwanamuziki wa dansi nchini, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae, Papi Kocha ‘Mtoto wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la polisi lawaonya wananchi dhidi ya matumzi mabaya ya Silaha....

  JESHI la Polisi nchini limetoa onyo kali kwa watu wanaotumia vibaya silaha walizomilikishwa.  Onyo hilo lilitolewa jana na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP), Advera...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majeruhi Francis Shumira aliyepigwa risasi juzi na Gabriel Munis ili kulipiza...

MAJERUHI Francis Shumira aliyejeruhiwa katika tukio la kushambuliwa kwa risasi Ilala Dar es salaam juzi  amefariki dunia jana asubuhi Hospitali ya Muhimbili alikolazwa MOI kwa matibabu.    Kufariki kwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>