Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGNESS MASOGANGE AACHIWA HURU BAADA YA KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 4

Mtanzania Agnes Gerald, maarufu Masogange, ameachiwa huru na Mahakama ya Kempton ya jijini Johannesburg, baada ya kulipa faini ya R30,000 (Sh4.8 milioni) kwa kosa la kubeba kemikali zinazotumika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nguvu ya Umma na Vurugu za CHADEMA zashindwa kumuokoa mbunge wake aliyetupwa...

UTARATIBU wa Chadema kutumia kinachoitwa ‘nguvu ya umma na vurugu’ kushinikiza sheria ipindishwe kwa maslahi yake, umekwama kumnusuru Mbunge wa Ukerewe, Salvatory Machemli anayetumikia adhabu ya kukaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa Dk Mvungi utawasili nchini leo saa 12. 50 jioni

Mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi utawasili nchini leo 12.50 jioni kwa ndege ya Shirika la Ndege Afrika Kusini (Saa) ukitokea Afrika Kusini.    Msemaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fundi magari mkoani Iringa ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la...

FUNDI  magari  mkazi  wa kijiweni  katika  Halmashauri ya  Manispaa ya  Iringa Bw Abdul Husein (31)  amejikuta  akitupwa  jela  mwaka  mmoja na faini  ya shilingi 200,000 baada  kutiwa  hatiani  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Huddah ni ‘mali ya serikali’, amelala na karibu dunia nzima....Mwanaume gani...

Baada ya kupondwa na Huddah Monroe kuwa amefulia, mfalme wa bling, Rapcellency Prezzo ameamua kujibu mashambulizi na kusema uhusiano wake na Huddah ulikuwa wa kufanya mapenzi tu, basi. Kwenye interview...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jack Wolper , Snura na Aunt Ezekiel wauteka mtaa baada ya kujiunga na kundi...

Mastaa wa filamu za Kibongo wenye jina kubwa mjini, Aunt Ezekiel, Jacgueline Wolper na Snura Mushi hivi karibuni walitisha kwa kufunga mtaa kutokana na mauno waliyokuwa wakikata mbele za wapiga ngoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SK Boys watukanwa na mashabiki kwa kutumia vibaya melody na beat ya single ya...

  Ni video ya wimbo ambao wametumia melody na beat ya single ya P Square ‘Personally’ na kuiweka October 26 2013, watu wengi waliyoiona hasa ukitazama mitandao ya kijamii kama facebook na twitter,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, wewe ni mwanamke na unatafuta mwanaume msomi wa kukuoa??... Unapenda...

  Habari  yako  Mpekuzi Mimi  ni  kijana  wa  kiume  mwenye  umri  wa  miaka  30.Elimu  yangu  ni  chuo  kikuu. Sina  mke  wala  mtoto. Makazi  yangu  ni  Dar  na  ni  mwajiriwa  wa kampuni  flan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siri yafichuka...Diamond na Penny wadaiwa kuwa ni mtu na dada yake....Penny...

Mwanzoni  mwa  wiki  hii, taarifa  za  kuumiza  masikio  zilimfikia  mwanadada  Peniel  Mwingilwa "Penny"  na  kujikuta  akimwaga  machozi  baada  ya  kutaarifiwa  na  mzee  wa  ukoo  wake  kuwa  yeye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya shughuli nzima ya kuuaga mwili wa Dr. Sengondo Mvungi hapo Kesho

  Dr. Sengongo  Mvungi  enzi  za  uhai  wake  

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kufuatia kashfa ya kubaka na kumwambukiza UKIMWI mwanafunzi wa sekondari:...

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), kwa kushirikiana na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) na Kituo cha Msaada wa Kisheria (LHRC), kimelaani viongozi wanaotumia madaraka yao, nafasi zao na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video mpya kutoka kwa Jose Chameleone “Tubonge”...Ni bonge la video

  Ni  kawaida  yake....Huwa  habahatishi.... Bofya  hapo  chini  ujipakulie 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tattoo na muonekano mpya wa Ray, vyawachefua mashabiki wake....wengi wasema...

Huu  ni  muonekano  mpya wa  Vicent  Kigosi ambao ni moja ya maandalizi ya movie  yake  mpya ... Ni  muonekano  ambao  kwa  kiasi  flani  umewachefua  mashabiki  wake  ambao  dakika  chache  baada  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Slaa na viongozi wengine wa CHADEMA waukana waraka uliosambaa kumhusu...

Maneno haya yametoka kwenye ukurasa wa facebook wa mbunge Zitto Kabwe na yamesemwa na viongozi wa Chadema kama Dr Wilbroad Slaa,Edwin Mtei na Mabere Marando kuhusu waraka uliosambaa kumhusu Zitto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa Dr. Sengondo Mvungi wawasili nchini Tanzania ....Ifiatayo ni ratiba...

 Mwili wa Marehemu Dk. Sengondo Mvungi ukifanyiwa maombi mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.  Wanachama wa NCCR-Mageuzi wakiwa wamelibeba sanduku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Uwoya hana UKIMWI...Haya ni majibu ya vipimo vya ngoma aliyoyatundika...

   Irene  Uwoya  hana  UKIMWI..... Hii  si  kauli  yangu...Ni  kauli  ya  Mama  Krish  "Irene  Uwoya"  ambayo   imewekwa  katika  ukurasa  wake  wa  Instagram  ikiambatana  na  cheti  cha  maabara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa Juma Kapuya ajikoroga....Amkana mwanafunzi anayedaiwa kumbaka, asema...

SIKU chache baada ya Waziri wa zamani na Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM) kutuhumiwa kumbaka na kutishia kumuua binti mdogo wa miaka 16, kiongozi huyo ameibuka na kutoa utetezi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umeme kuadimika kwa siku 11 nchini.... Na hii ndo mikoa itakayokumbwa na...

WATEJA katika mikoa inayopata umeme kwenye gridi ya Taifa wanatarajiwa kupata adha ya upungufu wa umeme kwa siku 11 kuanzia leo, kutokana na upungufu wa gesi kutoka katika Kisiwa cha Songosongo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dr. Bilal awaoongoza wananchi kuuaga mwili wa Dr. Sengondo...

Jeneza lenye mwili wa marehemu Dkt.Sengondo Mvungi, likiwasili kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam,leo kwa ajili ya kuagwa  Jeneza likipelekwa sehemu iliyoandaliwa  Mashada ya maua na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke akatwa mguu na mumewe na kutelekezwa bila msaada wowote.

  Hali ya wanawake inazidi kuwa mbaya ndani ya nchi yao TANZANIA inayosifiwa kuwa ni Kisiwa cha Amani ...   Tukio hili lilitokea mapema mwezi wa nane mwaka huu Kijiji cha Nyantira Tarime Mara. Katika...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>