Hali ya
wanawake inazidi kuwa mbaya ndani ya nchi yao TANZANIA inayosifiwa kuwa ni
Kisiwa cha Amani ...
Tukio hili lilitokea mapema mwezi wa nane
mwaka huu Kijiji cha Nyantira Tarime Mara. Katika mazungumzo yake, binti
HUYU alisema kwamba anatamani sana kurudi nyumbani kwa wazazi wake, tatizo ni kwamba
kwa kuwa alilipiwa MAHARI na mume wake (aliyemkata panga mguu na kuutoa) hawezi
kurudi
↧