FUNDI
magari mkazi wa kijiweni katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa
Bw Abdul Husein (31) amejikuta akitupwa jela mwaka mmoja na faini
ya shilingi 200,000 baada kutiwa hatiani na mahakama ya mwanzo
bomani kwa kosa la kutaka penzi la nguvu kwa mwanafunzi wa darasa
la tano .
Fundi
huyo ambaye anadaiwa kukaribishwa katika nyumba hiyo kama mlinzi
wa
↧