Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwili wa Dk Mvungi utawasili nchini leo saa 12. 50 jioni

$
0
0
Mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi utawasili nchini leo 12.50 jioni kwa ndege ya Shirika la Ndege Afrika Kusini (Saa) ukitokea Afrika Kusini.    Msemaji wa Tume hiyo, Omega Ngole alisema baada ya mwili huo kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam utapelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Lugalo.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>