Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Profesa Juma Kapuya ajikoroga....Amkana mwanafunzi anayedaiwa kumbaka, asema simu inayotumika kumtisha alishaigawa

$
0
0
SIKU chache baada ya Waziri wa zamani na Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM) kutuhumiwa kumbaka na kutishia kumuua binti mdogo wa miaka 16, kiongozi huyo ameibuka na kutoa utetezi wa kujikanganya.    Akizungumza kupitia kwa wakili wake, Yasin Memba, mbunge huyo alitishia kuliburuza gazeti la  Tanzania  Daima mahakamani endapo halitamwomba msamaha ndani ya siku saba.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>