Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dr. Slaa na viongozi wengine wa CHADEMA waukana waraka uliosambaa kumhusu Zitto Kabwe....Pamoja na kuukana, Zitto Kabwe adai wahusika ni CHADEMA wenyewe

$
0
0
Maneno haya yametoka kwenye ukurasa wa facebook wa mbunge Zitto Kabwe na yamesemwa na viongozi wa Chadema kama Dr Wilbroad Slaa,Edwin Mtei na Mabere Marando kuhusu waraka uliosambaa kumhusu Zitto Kabwe. Hii  ni Post ya Zitto Kabwe  aliyoiweka  facebook    Dr. Willbrod Slaa : ” Hatuna tatizo hata kidogo na Zitto Kabwe. Huyu ni Naibu Katibu Mkuu wetu kama kuna tatizo jambo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>