Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIPOTI: Ugomvi wa miaka 20 iliyopita wa kanisa la EAGT na TAG waibuka upya...

Kanisa la Evangelistic Assemblies of God (EAGT) linatarajia kuuanza mwezi ujao kwa machungu mapya kabisa huku yale ya kuaga dunia kwa aliyekua Askofu wake mkuu Askofu Moses Kulola yakiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanasayansi wadai kwamba MWISHO WA DUNIA utafika baada ya miaka bilioni 3.5...

Mwisho wa dunia kwa mujibu wa wanasayansi bado sana. Maisha duniani yataendelea kuwepo kwa miaka bilioni 3.5 mingine. Baada ya hapo wanasayansi wanaamini jua litakuwa kali kiasi ambacho hakuna kiumbe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hawa ndo washindi wetu watatu waliojishindia VOCHA za buku buku kila mmoja

  Leo  asubuhi  tulitoa swali  moja  la  kawaida  kwa  wasomaji  wetu  na  kuahidi  kutoa  zawadi  ya  vocha  ya  sh. 1000  kwa  mshindi  mmoja  wa  kwanza.... Swali  hilo liliambatanishwa  na picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKIMU ACHOMWA KISU MAHAKAMANI WAKATI AKITOA HUKUMU HUKO SHINYANGA

  Hakimu wa mahakama ya Mwanzo mjini Shinyanga Mheshimwa Nyanguoa Masaba amejeruhiwa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali akiwa Mahakani akitoa  hukumu. Tukio hilo limetokea leo katika mahakama ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maandamano ya CHADEMA, CUF na NCCR MAGEUZI yapigwa marufuku siku ya jumamosi

Jeshi la Polisi Jijini Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya umoja wa vyama vya CUF, NCCR na CHADEMA siku ya Jumamosi yaliyokuwa yamepangwa  kuanzia Tazara hadi Jangwani na Mwenge hadi Jangwani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU MKUU AKUTWA NA BANGI SHULENI.....

MWALIMU Mkuu wa Shule ya Msingi Mukubu, Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, Silidion Kaiza (43), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na bangi gunia sita.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA UCHI ZA FLORAH LYMO ALIYEDAI KABAKWA NA GODBLESS LEMA ZAVUJA

Huyu ni Flora Bahati Lyimo ambaye   aliwahi  kutikisa  media  za  Tanzania  kwa  kudai  kwamba  alibakwa  na mbunge  Godbless Lema  wa  Arusha.... Katika  maelezo  yake  ambayo  aliyatoa  katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Agness Masogange akiwa huru mtaani baada ya kuachiwa kwa DHAMANA

Watanzania Agness Masogange na Melisa Edward waliokamatwa kwa kutuhumiwa kubeba dawa za kulevya huko Afrika Kusini wameachiwa kwa dhamana.    Mkuu wa Kitengo cha Dawa za Kulevya Afrika Kusini, Kamishna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa mtu afumaniwa akisaliti ndoa yake na mwanaume mwingine.

  Kijana anayedaiwa kuwa muumini wa kanisa la kilokole (jina tunalo) la jijini Dar,  Faraji Oti amekutwa na mazito akidaiwa kufumaniwa na mke wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jesca.   MANZESE,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yatoa miezi 6 kwa waziri wa Elimu kujiuzulu....Vinginevyo itamtimua kwa...

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa kujiuzulu kwa kushindwa kulipa madeni ya walimu nchini. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPINZANI WAMCHANA RAIS KIKWETE......WADAI AKIENDEKEZA KEJELI DAMU ITAMWAGIKA

  SIKU moja, baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema anashangazwa na uongo wa baadhi ya wanasiasa kumtuhumu juu ya mambo mbalimbali kuhusu mchakato wa Katiba Mpya, viongozi wa vyama vitatu vya upinzani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tahadhari toka JWTZ kuhusu uvumi wa "AJIRA ZA WATAALAMU JESHINI"

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kuwataarifu Wananchi wote kuwa taarifa zilizoenea kwa njia ya ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu za mkononi (sms) na mitandao mbalimbali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA TAIFA STARS KUBORONGA - KOCHA KIM POULSEN APIME UZITO WA KIBARUA...

MAKOCHA wa kigeni wanaoajiriwa kuzinoa timu za soka za taifa Tanzania – Taifa Stars, Kilimanjaro Stars, Ngorongoro Heroes na Serengeti Boys – wana bahati. Matokeo mabaya uwanjani huwa hayana athari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA, CUF na NCCR MAGEUZI wasitisha MAANDAMANO yaliyopangwa kufanyika kesho

Vyama vitatu vya Upinzani vinavyounda Umoja wa vyama vya Upinzani nchini vilivyopanga kufanya maandamano ya amani kupinga baadhi ya vipengele vilivypopo kwenye rasimu ya katiba vimeridhia kuahirisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa mbali mbali toka shirikisho la soka nchini ( TFF ) leo

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inaingia raundi yake ya tano kesho (Septemba 21 mwaka huu) kwa mechi huku vinara Simba wakiwakaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uwanja wa Mkwakwani,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya JANUARY MAKAMBA akiongelea msimamo wake wa kugombea URAIS mwaka 2015...

Mahojiano haya yalifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia Star TV kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi. Mambo yaliyozungumziwa:  1. Uendeshaji na mwelekeo wa Bunge,  2. Vijana na Uongozi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWATOA HOFU WAWEKEZAJI WA MAREKANI KUHUSU TISHIO LA CHINA NCHINI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIHakuna tishio la China – Rais KikweteRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa maslahi ya makampuni ya Marekani yanayotaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi ni picha nyingine za uchi za msanii Manaiki ...Ziangalie kwa makini...

Huyu ni  msanii  Manaiki Sanga “The Don” aliyejipatia umaarufu mkubwa nchini na duniani baada ya picha zake za utupu akiwa na wanawake zaidi ya 400 wakiwemo wazungu akifanya nao ngono nzembe   kuvuja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za serengeti fiesta 2013 ndani ya uwanja wa karume mjini musoma mkoani...

 Msanii mwingine anaefanya vyema hivi sasa katika anga ya muziki wa Bongofleva,Rich Mavoko akiwaimbisha mashabiki wake usiku huu,mbele ya wakazi wa mji wa musoma waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daktari FEKI akamatwa katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar

DAKTARI anayedaiwa kuwa bandia amekamatwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam, akiwa na vitambulisho bandia vya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Muhimbili cha Afya na Sayansi Shirikishi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>