MWALIMU Mkuu wa Shule ya Msingi Mukubu, Wilaya ya Ngara mkoani
Kagera, Silidion Kaiza (43), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa
tuhuma za kukutwa na bangi gunia sita.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Philip Kalangi alisema kuwa tukio
hilo lilitokea Septemba 17, mwaka huu, shuleni hapo katika kata na
kijiji cha Muganza majira ya saa tano asubuhi.
Alisema kuwa raia wema
↧