Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MWALIMU MKUU AKUTWA NA BANGI SHULENI.....

$
0
0
MWALIMU Mkuu wa Shule ya Msingi Mukubu, Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, Silidion Kaiza (43), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na bangi gunia sita.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Philip Kalangi alisema kuwa tukio hilo lilitokea Septemba 17, mwaka huu, shuleni hapo katika kata na kijiji cha Muganza majira ya saa tano asubuhi.   Alisema kuwa raia wema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles