Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA, CUF na NCCR MAGEUZI wasitisha MAANDAMANO yaliyopangwa kufanyika kesho

$
0
0
Vyama vitatu vya Upinzani vinavyounda Umoja wa vyama vya Upinzani nchini vilivyopanga kufanya maandamano ya amani kupinga baadhi ya vipengele vilivypopo kwenye rasimu ya katiba vimeridhia kuahirisha maandamano hayo yaliyokuwa yafanyike Septemba 21 mwaka huu. Vyama hivyo ambavyo ni CUF,CHADEMA,na NCCR MAGEUZI kwa pamoja vimekubaliana na uongozi wa juu wa jeshi la Polisi nchini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>