Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

BAADA YA TAIFA STARS KUBORONGA - KOCHA KIM POULSEN APIME UZITO WA KIBARUA CHAKE NA AJIUZULU

$
0
0
MAKOCHA wa kigeni wanaoajiriwa kuzinoa timu za soka za taifa Tanzania – Taifa Stars, Kilimanjaro Stars, Ngorongoro Heroes na Serengeti Boys – wana bahati. Matokeo mabaya uwanjani huwa hayana athari zozote katika mikataba yao. Hata baada ya timu zao kufungwa vibaya, huendelea hadi mwisho na hata kuongezewa mpya.   Marcio Maximo wa Brazil aliletwa nchini na serikali kwa mbwembwe mwaka 2006,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles