MAKOCHA wa kigeni wanaoajiriwa kuzinoa timu za
soka za taifa Tanzania – Taifa Stars, Kilimanjaro Stars, Ngorongoro Heroes na
Serengeti Boys – wana bahati.
Matokeo mabaya uwanjani huwa hayana athari
zozote katika mikataba yao. Hata baada ya timu zao kufungwa vibaya, huendelea
hadi mwisho na hata kuongezewa mpya.
Marcio Maximo wa Brazil aliletwa nchini na
serikali kwa mbwembwe mwaka 2006,
↧