Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto achomwa moto na mama yake akituhumiwa kuiba mayai ya kuku jijini Mbeya.

WIMBI la ukatili dhidi ya watoto linazidi kushika kasi jijini hapa baada ya mtoto, Emilly George (7) Mkazi wa kijiji cha Ruanda wilaya ya Mbeya kuunguzwa vibaya mikono na mama yake mzazi, Elisia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Uwoya aahidi kufichua SKENDO kubwa na mbaya za ERICK SHIGONGO

Lile bifu linalondelea kati ya mwigizaji Irene Uwoya na mmiliki wa kampuni maarufu ya magazeti nchini Erick Shigongo limeshika sura  mpya baada ya mwigizaji huyo kuapa  kuzianika  hadharani  SKENDO...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGEDERE ATIMUKA NA BUKTA YA BEKI WA TIMU YA SIMBA....

   Ngedere mmoja kwa jina la Sharobaro amekuwa kivutio katika kambi ya Simba iliyopo kwenye Fukwe za Bamba nje kidogo ya Jiji la Dar, eneo la Kigamboni, ambapo gazeti la Championi Jumatano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LAPONGEZWA KWA KUMKAMATA MWALIMU ALIYELAWITI WANAFUNZI WANNE...

  Mmoja kati ya  watoto  wanaodaiwa  kulawitiwa na mwalimu huyo.. SIKU chache baada ya Gazeti la Majira kuandika habari ya ukatili wa kutisha dhidi ya mwalimu anayedaiwa kuwalawiti wanafunzi wanne...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

URUSI NA UFARANSA WAZIDI KUMUUMIZA RAIS OBAMA.....WADAI SYRIA HAISTAHILI...

Urusi na Ufaransa zimeeleza wazi wazi tofauti zao kuhusu ripoti ya wataalamu wa silaha wa Umoja wa Mataifa, ambayo ilithibitisha kwamba silaha za kemikali zilitumiwa nchini Syria. Waziri wa mambo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA,NCCR MAGEUZI NA CUF WATOA MSIMAMO WAO MPYA....

  Vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na Chadema  vimeanza kuwasha moto wa katiba baada ya kuanza kukutana na viongozi wa Jukwaa la Katiba Tanzania ikiwa ni harakati za kupinga mchakato wa katiba mpya kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AISHA BUI AKANUSHA MADAI YALIYOSAMBAA KWAMBA " YEYE NI PUNDA " ALIYEFUNGWA...

Msanii  wa Bongo Movie Aisha Bui amefunguka kuwa ameshangazwa na madai yaliyoenea kuwa amefungwa nchini Brazil baada ya kunaswa na unga.  Akizungumza na Globalpublishers, Aisha amesema kuwa yeye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTU MMOJA APOTEZA MAISHA BAADA YA KUSHAMBULIWA NA SIMBA MKOANI LINDI

Hili  ni  tukio  la  kutisha  lililomkumba  mtanzania  mwenzetu  ambaye  ni  mkazi  wa  kijiji  cha  Lionja  kilichoko  wilayani Nachingwea  katika  mkoa  wa  Lindi... Mtanzania  huyo  alishambuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yatengwa rasmi na nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ( EAC )

HATIMAYE Tanzania imewekwa kando rasmi na nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), katika kuunda Shirikisho la Kisiasa litakaloziongoza nchi hizo. Tayari marais wa nchi hizo, Paul Kagame wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huu ni ujumbe wa EDWARD LOWASSA kwa wanasiasa WASIOMPENDA....

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema yuko imara na hakatishwi tamaa na maneno ya baadhi ya wanasiasa dhidi ya harakati zake za kisiasa.  Lowassa ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unafahamu maana ya "PEOPLES POWER" ya CHADEMA??...Kama hujui, Waziri MAGUFULI...

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amesema kuwa anafurahishwa na salamu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa kuwa kila neno katika salamu hiyo lina maana na linaashiria ushindi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa yasambaratika KANISANI ikiwa na dakika chache kabla ya...

Hili  ni  tukio  la  kusikitisha, lakini  lenye  mafunzo  kibao  ndani  yake.... Tukio  hilo  lilitoke  mwanzoni  mwa  mwezi wa  nane  mwaka  huu ndani  ya  kanisa  la Pentekoste  la  nchini  Kenya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aibu: Shehena ya Samaki walioharibika yanaswa ikiwa Tabata Bima Jijini Dar ES...

Shehena ya samaki tani 22.5 kutoka nchini China wanaodaiwa kuharibika na kutokuwa salama kwa matumizi  ya binadamu wamekutwa katika eneo la Tabata Bima jijini dar es salaam huku baadhi ya samaki hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpenzi wangu ni MSAGAJI, bado nampenda na kumwacha nashindwa.Naomba ushauri

Dunia yetu kwa sasa imepata mabadiliko makubwa sana, kiasi cha kusababisha tamaduni na desturi zetu kuathiriwa na mabadiliko hayo. Ingawa ni maeneo mengi yameathirika kutokana na athari za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utafiti: Simu za kupapasa ( SMART PHONE ) zina uchafu mwingi kuliko CHOO.

  Simu  ya  kupapasa.  Watafiti wamebaini kuwa baadhi ya vifaa vya kisasa vya mawasiliano vinavyotumika kwa kupapasa kama tablet komputa na smart-phones huwa na vijidudu vingi vya uchafu kuliko hata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael ndani ya MKASI SHOW....Safari hii atatudanganya nini??...Hizi ni...

  Actress Lulu  Michel  is so busy nowadays shooting new movies, media interviews and many more. Today the Swahili movies screen queen was on set shooting her interview with Mkasi Tv show which is...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDO PICHA ILIYOMFANYA AMBER ROSE AACHANE NA KANYE WEST

  SIRI  mojawapo  ya  penzi  la  dhati  ni  heshima.Tendo  la  ndoa pekee  halitoshi  kumfanya  mtu  ajione  anapendwa  na  kuthaminiwa.... Katika  hali  ya  kawaida, utajisikiaje  mpenzi  wako...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIVA WA CLOUDS FM AMTIBUA TENA ZITTO KABWE.

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Loveness  Malinzi ‘Diva’ amesema alichokuwa anahitaji katika sakata lake la kudai ameibiwa ‘idea’ ya Kigoma All Star East Africa Tour na Mhe. Zitto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII VIDEO NI KWA AJILI YA AKINA KAKA TU....Ni ya binti akikata mauno kama...

Baada  ya  kupashana  kwa  habari  motomoto za  matukio  ya  kila  siku  hapa  nchini, si  mbaya  pia  tukiwa  tunaburudika  japo  mara  moja moja.... Hizi  ndo  faida  za  utandawazi.Huyu  ni  binti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Toka Maisha ya UTEJA mpaka kutembelea gari...Hili ni gari jipya alilonunua...

STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray C’  ameamua kuianika  gari  yake  ambayo anatembelea kwa sasa ... Gari  hilo  ni aina ya Jaguar ambalo namba zake za usajili hazionekani vizuri ila mwishoni...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>