Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA,NCCR MAGEUZI NA CUF WATOA MSIMAMO WAO MPYA....

$
0
0
  Vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na Chadema  vimeanza kuwasha moto wa katiba baada ya kuanza kukutana na viongozi wa Jukwaa la Katiba Tanzania ikiwa ni harakati za kupinga mchakato wa katiba mpya kwa madai kuwa umehodiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wenyeviti wa vyama hivyo, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Profesa Ibrahim Lipumba (CUF) na Freeman Mbowe (Chadema) jana walifika katika ofisi za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>