Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

URUSI NA UFARANSA WAZIDI KUMUUMIZA RAIS OBAMA.....WADAI SYRIA HAISTAHILI KUVAMIWA NA MAREKANI

$
0
0
Urusi na Ufaransa zimeeleza wazi wazi tofauti zao kuhusu ripoti ya wataalamu wa silaha wa Umoja wa Mataifa, ambayo ilithibitisha kwamba silaha za kemikali zilitumiwa nchini Syria. Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Urusi Sergei Lavrov ambaye alikutana na mwenzake wa Ufaransa Laurent Fabius mjini Moscow jana, alitupilia mbali madai kwamba serikali ya Syria ndio iliyotumia silaha hizo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>