Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JESHI LA POLISI LAPONGEZWA KWA KUMKAMATA MWALIMU ALIYELAWITI WANAFUNZI WANNE MKOANI IRINGA

  Mmoja kati ya  watoto  wanaodaiwa  kulawitiwa na mwalimu huyo.. SIKU chache baada ya Gazeti la Majira kuandika habari ya ukatili wa kutisha dhidi ya mwalimu anayedaiwa kuwalawiti wanafunzi wanne mkoani Iringa, mtuhumiwa huyo amekamatwa na yupo katika mikono ya polisi.Mwalimu huyo anafundisha katika Shule ya Sekondari Wanging'ombe, iliyopo Wilaya Mpya ya Wanging'ombe, mkoani Njombe, Bw.Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>