Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Huu ni ujumbe wa EDWARD LOWASSA kwa wanasiasa WASIOMPENDA....

$
0
0
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema yuko imara na hakatishwi tamaa na maneno ya baadhi ya wanasiasa dhidi ya harakati zake za kisiasa.  Lowassa ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati akizungumza katika harambee ya ujenzi wa Shule ya Msingi ya Kanisa la African Inland Church of Tanzania (AICT) mjini Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Alisema, wanasiasa wanaomshambulia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>