WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema yuko imara na hakatishwi
tamaa na maneno ya baadhi ya wanasiasa dhidi ya harakati zake za
kisiasa.
Lowassa ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati
akizungumza katika harambee ya ujenzi wa Shule ya Msingi ya Kanisa la
African Inland Church of Tanzania (AICT) mjini Kahama, Mkoa wa
Shinyanga.
Alisema, wanasiasa wanaomshambulia
↧